Bendera ya Tanzania yaendelea kupepea katika mataifa makubwa duniani kupitia sanaa ya muziki siku za karibuni wasani wa Tanzania wamekuwa wakifanya vizuri katika mzika hata katika mataifa makubwa Diamond na Ay ni miongoni mwa wasanii waliopeperusha bendera ya Tanzania
Leo AY kaachia video yake mpya aliyowashirikisha wasanii kutoka Jamaica inayokwenda kwa jina la It's Going Down - AY ft Ms Triniti, La'myia Iangalie hapa
0 comments:
Post a Comment